JPM awasilisha fomu za tamko la mali, madeni yake

Katibu wa Rais akikabidhi tamko la Mapato, Rasilimali na Madeni kwa Kamishna wa Sektretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewasilisha tamko linalohusu Mapato, Rasilimali na Madeni ya viongozi katika Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ikiwa ni utekelezaji wa matakwa ya kisheria na kikatiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS