11 kizimbani wakidaiwa kuwauwa Askari 2
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imewapandisha kizimbani washtakiwa 11 na kuwasomea shitaka la kuwaua Askari Polisi 2 huku mmoja wao kukatwa sehemu za siri katika Kijiji cha Mpeta wilayani Uvinza, wakati wa mapambano yaliyotokea mwaka 2018 kati ya Askari na wananchi.

