11 kizimbani wakidaiwa kuwauwa Askari 2

Sheria

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imewapandisha kizimbani washtakiwa 11 na  kuwasomea shitaka la kuwaua Askari Polisi 2 huku mmoja wao kukatwa sehemu za siri katika Kijiji cha Mpeta wilayani Uvinza, wakati wa mapambano yaliyotokea mwaka 2018 kati ya Askari na wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS