H Baba aomba aoneshwe talaka Kushoto pichani ni H-Baba, kulia ni Florah Mvungi Msanii na mkali wa kukata mauno Bongo, H Baba amesema kama mke wake Florah Mvungi huwa anawaambia watu kwamba wameachana basi aoneshe talaka. Read more about H Baba aomba aoneshwe talaka