Yanga yatangaza kocha mpya, fahamu historia yake Luc Eymael Mabingwa wa kihistoria Yanga SC wamemtangaza kocha Luc Eymael raia wa Ubelgiji kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo baada ya kuachana na kocha Mwinyi Zahera. Read more about Yanga yatangaza kocha mpya, fahamu historia yake