UEFA yamtoa Kante yamuweka Ronaldo, kikosi bora

Kikosi bora cha UEFA mwaka 2019, Ng'olo Kante na Cristian Ronaldo

Kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa Dail Mail nchini Uingereza, Shirikisho la Soka barani Ulaya UEFA limebadili mfumo wa kikosi cha mwaka kilichopigiwa kura na mashabiki kwa kumtoa Ng'olo Kante na kumuweka Cristiano Ronaldo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS