Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa, Halima Mdee
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa, Halima Mdee amesema watahakikishawapigania maslahi ya wanawake na watoto kwa kushinikiza marekebisho ya Sheria ya Ndoa ili kupinga Ndoa za utotoni.