'Tunataka mabadiliko ya Sheria ya Ndoa' - Mdee

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa, Halima Mdee

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa, Halima Mdee amesema watahakikishawapigania maslahi ya wanawake na watoto kwa kushinikiza marekebisho ya Sheria ya Ndoa ili kupinga Ndoa za utotoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS