Bei ya vyakula na vinywaji baridi yapaa

Picha ya Nafaka na vinywaji.

Mkurugenzi wa Takwimu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Ruth Minja, amesema kuwa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa mwezi Disemba 2019, umeongezeka hadi kufikia asilimia 6.3, kutoka asilimia 6.1 kwa mwaka ulioisha mwezi Novemba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS