Waziri Ndalichako apiga marufuku 'spirit' shuleni

Prof. Joyce Ndalichako

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amewaonya wamiliki wa shule ambazo zinatumia janga la Corona kuwaumiza wazazi kwa kuweka michango isiyo na ulazima kwa wanafunzi pindi watakaporejea shuleni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS