Katibu Mkuu amzungumzia Balozi Dkt Mahiga

Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt Augustine Mahiga na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Sifuni Mchome.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Profesa Sifuni Mchome, amepongeza utendaji kazi wa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Augustine Mahiga, na kusema kuwa alikuwa ni mnyenyekevu kwa kila mtu na alikuwa anatoa mawazo mbalimbali licha ya kwamba hakuwa ni Mwanasheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS