Waziri Majaliwa, hali ya sasa ya Corona nchini
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa mpaka sasa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ujumla wake, umebaki na wagonjwa wa Virusi vya Corona 13, Kibaha wamebaki wagonjwa 16 na Mkoani Dodoma katika kituo cha Mkonze wamebaki wagonjwa 3.