"Nafasi zenyewe chache, Ubunge wa nini" - Waitara
Naibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara, amesema kuwa kama yeye angelikuwa ni Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa basi asingehangaika kutafuta nafasi ya kugombea Ubunge, kwani angeridhika na nafasi yake aliyokuwa nayo.

