"Nafasi zenyewe chache, Ubunge wa nini" - Waitara

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara.

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara, amesema kuwa kama yeye angelikuwa ni Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa basi asingehangaika kutafuta nafasi ya kugombea Ubunge, kwani angeridhika na nafasi yake aliyokuwa nayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS