Sababu ya taarifa mpya za Corona kutotangazwa

Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema sababu ya kutotangaza mwenendo wa ugonjwa wa Corona ni kutokana na maboresho yanayofanyika kwenye Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, ambapo kuna marekebisho yanafanyika na ndani ya siku chache marekebisho

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS