Serikali yaifungia JKT Tanzania kwa kosa hili

Wachezaji wa Yanga na JKT Tanzania kwenye mechi ya Ligi kuu jana

Serikali imezuia timu ya Jkt Tanzania  kucheza na mashabiki uwanjani katika mechi zake zote zilisosalia kwenye Ligi Kuu Soka Tanzania Bara msimu huu, kutokana na kukiukwa kwa mwongozo wa Wizara Ya Afya michezoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS