Serikali yaifungia JKT Tanzania kwa kosa hili
Serikali imezuia timu ya Jkt Tanzania kucheza na mashabiki uwanjani katika mechi zake zote zilisosalia kwenye Ligi Kuu Soka Tanzania Bara msimu huu, kutokana na kukiukwa kwa mwongozo wa Wizara Ya Afya michezoni.