Serikali yaridhishwa na ajira 8,000 Kilimanjaro Waziri Angellah Kairuki Serikali imeeleza kuridhishwa na uwekezaji mkubwa unaofanywa na viwanda vitatu mkoani Kilimanjaro kwa kuwekeza zaidi ya bilioni 190 na kutoa ajira kwa watanzania zaidi ya 8,000. Read more about Serikali yaridhishwa na ajira 8,000 Kilimanjaro