Serikali yaridhishwa na ajira 8,000 Kilimanjaro

Waziri Angellah Kairuki

Serikali  imeeleza kuridhishwa na uwekezaji mkubwa unaofanywa na viwanda vitatu mkoani Kilimanjaro kwa kuwekeza zaidi ya bilioni 190 na kutoa  ajira  kwa watanzania zaidi ya 8,000.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS