Ahadi za Balozi Karume baada ya kuchukua fomu Balozi Ali Abeid Karume akichukua fomu Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM, Balozi Ali karume amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar leo, zoezi lililofanyika katika Ofisi Kuu za chama hicho, Kisiwandui Mjini Unguja. Read more about Ahadi za Balozi Karume baada ya kuchukua fomu