Muroto aeleza chanzo ajali iliyouwa watano Dodoma Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, Gilles Muroto Ajali ya gari imeuwa watu watano na kujeruhi wawili, baada ya gari dogo aina ya Noah lililokuwa likitokea Morogoro kwenda Dodoma kugongana na lori huko Kibaigwa Dodoma. Read more about Muroto aeleza chanzo ajali iliyouwa watano Dodoma