Muroto aeleza chanzo ajali iliyouwa watano Dodoma

Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, Gilles Muroto

Ajali ya gari imeuwa watu watano na kujeruhi wawili, baada ya gari dogo aina ya Noah lililokuwa likitokea Morogoro kwenda Dodoma kugongana na lori huko Kibaigwa Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS