Mwanaume ajipeleka polisi akiwa uchi kisa fumanizi

Mwanaume aliyefumaniwa akiwa kituo cha polisi

Mwanaume mmoja nchini Kenya amejisalimisha kituo cha polisi cha Embakasi Jijini Nairobi akiwa hana nguo baada ya kukimbia kutoka kwenye fumanizi nyumbani kwa mke wa Mwanajeshi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS