"Nilikuwa naogopa baba au mama ataona" - Karen Msanii wa BongoFleva Malkia Karen Msanii Malkia Karen amefunguka kusema alikuwa anagopa yale yote aliyokuwa anafanya kwenye video ya wimbo wake mpya wakati wapo "location" wana-shoot video huku akihofia baba yake ataona. Read more about "Nilikuwa naogopa baba au mama ataona" - Karen