"Nilikuwa naogopa baba au mama ataona" - Karen

Msanii wa BongoFleva Malkia Karen

Msanii Malkia Karen amefunguka kusema alikuwa anagopa yale yote aliyokuwa anafanya kwenye video ya wimbo wake mpya wakati wapo "location" wana-shoot video huku akihofia baba yake ataona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS