"Nitachaguliwa na Zitto ataachwa" -Abdul Nondo

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo.

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana wa ACT Wazalendo Abdul Nondo amesema kuwa hakuona haja ya yeye kumshirikisha Zitto Kabwe kama anataka kutia nia ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigoma Mjini  kwa kuwa chama hicho kinazingatia demokrasia na kwamba hakina Papa bali wanachama wote ni sawa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS