Yanga na Simba dimbani, huu hapa mpango wa Yanga

Magolikipa wa Yanga wakiwa mazoezini

Katika mwendelezo wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, mabingwa wa ligi hiyo msimu huu Simba SC pamoja na Yanga ambao wanapigania nafasi ya pili, zitashuka dimbani kusaka pointi tatu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS