Yanga na Simba dimbani, huu hapa mpango wa Yanga Magolikipa wa Yanga wakiwa mazoezini Katika mwendelezo wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, mabingwa wa ligi hiyo msimu huu Simba SC pamoja na Yanga ambao wanapigania nafasi ya pili, zitashuka dimbani kusaka pointi tatu. Read more about Yanga na Simba dimbani, huu hapa mpango wa Yanga