"Wanaume tunaoa kwa sababu ya tamaa" - Dkt Mwaka

Dkt Juma Mwaka.

Daktari wa Tiba Mbadala na Mkurugenzi wa ForePlan International Juma Mwaka maarufu kwa jina la Dkt Mwaka, amesema kuwa mara nyingi wanaume huamua kuoa kwa tamaa zao binafasi ili kujiepusha na uzinifu na kwamba, hakuna mwanaume anayetosheka na mwanamke mmoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS