Yondani kuikosa Mtibwa Kelvin Yondani Beki na nahodha wa zamani wa Yanga Kelvin Yondani ataikosa mechi ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar itayopigwa Jumatano hii katika uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kutokana na kuwa na matatizo ya kifamilia. Read more about Yondani kuikosa Mtibwa