Yondani kuikosa Mtibwa

Kelvin Yondani

Beki  na nahodha wa zamani wa Yanga Kelvin Yondani  ataikosa mechi  ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar itayopigwa Jumatano hii katika uwanja wa  Jamhuri mkoani Morogoro kutokana na kuwa na matatizo ya kifamilia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS