Magufuli amchagua Samia Suluhu, atoa sera zake

Samia Suluhu Hassan

Mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli amemchagua Mama Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS