Mbatia achukuliwa fomu ya Ubunge, atoa neno

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia.

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama cha  NCCR-Mageuzi Jimbo la Vunjo, kwa kauli moja wamechanga fedha kiasi cha Sh 370,000 na kumchukulia fomu Mbunge wa jimbo hilo anayemaliza muda wake James Mbatia kwa ajili ya kugombea ubunge kwa kipindi kingine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS