Q Chief ajikataa kwa Harmonize

Msanii Q Chief na Harmonize wakati wana-shoot video

Msanii mkongwe wa BongoFleva Q Chief amesema yeye ndiyo aliamua kujikataa ili kutovunja heshima kwa msanii Harmonize baada ya kuwepo na maneno kuhusu kusaidiwa na msanii huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS