Dkt Slaa afutiwa kesi na kuachiwa huru Dkt Wilbroad Slaa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Dkt. Wilbroad Slaa, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo. Read more about Dkt Slaa afutiwa kesi na kuachiwa huru