Harmonize amlipua Diamond Zanzibar

Pichani ni Diamond na Harmonize

Msanii wa Kizazi kipya na mmiliki wa recording label ya Konde Gang armonize ameonesha kushangazwa na kile alichokifanya msanii Diamond Platnumz kusafirisha magari yake mpaka Zanzibar, ambacho kwa mujibu wa Konde amekitafsiri kuwa msanii Diamond anajitapa ama kujigamba

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS