
Msanii Belle 9
"Kusaini wasanii sio kitu rahisi. Record lebels 3 hazijafika Tanzania ambazo zina nguvu lakini zinazofahamika zipo hata 20" amesema Belle 9.
Zaidi mtazame hapa kwenye video akizungumzia suala hilo.
Msanii Belle 9 anasema record lebels za muziki zenye nguvu Tanzania hazifiki 3 ila zinazofahamika zinafika 20 na hata wasanii waliokuwepo kwenye lebo hizo hawajafikia level kubwa.
Msanii Belle 9
"Kusaini wasanii sio kitu rahisi. Record lebels 3 hazijafika Tanzania ambazo zina nguvu lakini zinazofahamika zipo hata 20" amesema Belle 9.
Zaidi mtazame hapa kwenye video akizungumzia suala hilo.