
Mwenyekiti wa wachimbaji Wadogo katika Mgodi wa Masanga Khassan Khamimu, amesema licha ya kuwa wanachukua tahadhali bado mazingira hayako salama kwa wachimbaji
Afisa Mtendaji Kata ya Gungu Mwanvita Rusovu ameshauri wachimbaji hao kusitisha shughuli hadi mazingira ya uchimbaji yatakapo kuwa salama kuepusha Matukio ya kuporomokewa na mawe.