
Bangi
Taarifa hiyo imetolewa leo Juni 28, 2023, na Kamanda wa Polisi Knda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro
Aidha katika hatua nyingine Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa sugu 48 wa matukio ya unyang’anyi na uvunjaji nyumba usiku na kuiba huku likitoa onyo kali kwa watu ambao wamekuwa wakinunua bidhaa zinazoibwa mtaani.
Miongoni mwa waliokamatwa kuwa ni Michael Jacob ngatunga (38) mkazi wa Jet lumo, Hossein Rashid (40) Mkazi wa Mtoni Mtongani na Mussa Mohamedi (23) mkazi wa Chanika, wote wa Dar es Salaam.