Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chongolo ang'aka madada wa kazi kutoka Iringa

Tuesday , 30th May , 2023

Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo amepiga marufuku mkoa wa Iringa kuwa sehemu ya kupata mabinti wa kazi na badala yake mkoa huo upate sifa kwa kutoa mabinti wenye taaluma mbalimbali nchini.

Katibu Mkuu wa CCM daniel Chongolo

Chongolo amesema hayo wakati akizungumza na wananchi Kijiji cha Wenda jimbo la Kalenga mkoani Iringa na kusema kuwa ni aibu mkoa huo kusifika kwa kutoa mabinti wa kazi za ndani.

"Iringa sio mkoa wa kupata mabinti wa kazi badala yake watafute madaktari, wauguzi ,mainjinia na mabinti wenye taaluma mbalimbali,hivyo nawaomba wananchi kuhakikisha mabinti na vijana wote wanaenda shule" amesema Katibu Mkuu Chongolo

Chongolo ameeleza kuwa historia inaonesha kuwa watu walikuwa wanatafuta mabinti wa kazi mkoani hapo kwa sababu watu wa mkoa huo ni waaminifu

"Kupitia uaminifu huo kwani hawawezi kuwa watu wenye taaluma mbalimbali waaminifu mpka wawe mabinti wa kazi? alihoji? na kusema kuwa huo uaminifu wautumie kama daraja na kufanya mambo ya msingi kwa kuwasomesha watoto vizuri," ameongeza

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea