Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukichezea Mizani faini milioni 20

Thursday , 11th May , 2023

Meneja wa Wakala wa Vipimo katika Jiji la Ilala Alban Kihula amesema kwa mujibu wa sheria mfanyabiashara yoyote anayetumia mizani kupima bidhaa anapobainika amechezea mizani ili kupunguza kiwango halisi atalazimika kulipa faini ya kuanzia shilingi laki moja mpaka shilingi milioni 20

Amesema pia anaweza kufikishwa mahakamani na kutozwa faini ya shilingi laki tatu mpaka shilingi milioni 50
Akizungumza na EATV leo Meneja huyo amesema suala la wafanyabiashara kuchezea mizani limekuwa ni changamoto kubwa hapa nchini na kusababisha malalamiko mengi kwa wananchi kupunjwa bidhaa wanazonunua maeneo mbalimbali

Hata hivyo EATV imefikia mpaka kwa wafanyabiashara wa nafaka na bucha za nyama ambao ndio wamekuwa wakilalamikiwa zaidi ambapo wamesema licha ya kukiri kuwepo kwa tabia hiyo lakini mara baada ya kuelimisha na kufahamu sheria za makosa hayo wengi wao wameachana na tabia hiyo

Nao wananchi waliofika kununua nyama na nafaka katika maeneo hayo wameeleza uelewa wao wa kutambua iwapo bidhaa aliyonunua ipo kwenye kipimo halisi Ili kuepuka kupewa bidhaa iliyo pungufu na mahitaji yake mara baada ya kuelimisha
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma