Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maandamano makubwa yafanyika Afrika Kusini

Monday , 20th Mar , 2023

 

Raia wa Afrika Kusini wanafanya maandamano dhidi ya serikali na wakimtaka Rais Cyril Ramaphosa  ajiuzulu sababu za gharama kubwa ya maisha

Raia wan chi hiyo waandamana wakimtaka Rais ajiuzulu sababu ya gharama kubwa za maisha.

Serikali imepeleka wanajeshi kusaidia kulinda miundombinu muhimu wakati wa maandamano hayo.Rais Cyril Ramaphosa amewaonya waandamanaji dhidi ya kuharibu mali au kuwadhuru watu.

Wafuasi wa chama cha upinzani cha EFF nchini humo wanasafirishwa hadi katika kumbi ambazo wanafanya maandamano ya kuipinga serikali.  

Chama hicho kimesema maandamano yake ya kufungwa kwa taifa yalilenga kumshinikiza Rais Cyril Ramaphosa kuondoka madarakani, wanamshutumu kwa ufisadi na kwa kuendesha vibaya uchumi na mgogoro wa nishati.

Serikali imeimarisha ulinzi kote nchini humo. Polisi nchini Afrika Kusini hadi sasa wamewakamata watu 87 kuhusiana na maandamano hayo. Zaidi ya wanajeshi 3,000 wamepelekwa  kusaidia kulinda miundombinu muhimu.

Zaidi ya matairi 24,000 yamekamatwa na polisi katika miji tofauti.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja