Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliogoma kulipa tozo sasa wakubali 

Monday , 13th Mar , 2023

Wafanyabiashara wa maduka mkoani Iringa wamesitisha mgomo wa kutokulipa tozo na kodi zilizo chini ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa baada ya machinga kuhamishwa na kupelekwa eneo la Mlandege ambalo wamepangiwa kufanya biashara zao.

Wafanyabiashara

Katibu wa jumuiya ya wafanyabaishara hao Kola Mtende amesema kuanzia sasa wataanza tena kulipa maduhuli ya Manispaa kama ilivyokuwa hapo awali baada ya zoezi la kuwaondoa wamachinga mbele ya maduka yao kufanikiwa

Miongoni mwa tozo zilizokuwa zimegomewa na wafanyabiashara hao ni tozo ya usafi, kodi ya leseni na kodi ya pango.

Ni takribani siku saba zimepita tangu lilipotolewa tamko na wafanyabishara hao wa mkoa wa Iringa kusitisha kulipa tozo zote zilizo chini ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, kutokana na kushindwa kuwapanga wa machinga katika maeneo waliyopangiwa na kupelekea mgongano wa maslahi kati ya makundi hayo mawili.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea