Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto ya ukatili kwa wanafunzi Goba

Thursday , 26th Jan , 2023

Kukosekana kwa uzio pamoja na wanafunzi, kutembea umbali mrefu katika maeneo yanayozingirwa na vichaka zimetajwa kuwa changamoto zinazochangia kuongezeka kwa matukio ya ukatili yakiwemo ulawiti na ubakaji kwa baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi katika kata ya Goba wilayani Ubungo Dar

Hayo yamebainishwa katika shule mbili za msingi Kunguru na Kulangwa zilizopo mtaa wa Tegeta "B" katika kata ya Goba baada ya wanafunzi pamoja na walimu wa shule hizo kueleza kutofurahishwa mazingira wanayokutana nayo wanafunzi wakiwa shuleni na hata wakati wa kurejea majumbani kutokana na maeneo mengi kuzungukwa na mapori ambayo yamekua yakihatarisha usalama wao.

Licha ya wanafunzi wa shule hizo kuwa kwenye hatari ya kukumbwa na matukio ya ukatili lakini pia shule inakabiliwa na upungufu wa madawati, viti pamoja na meza za walimu hali inayowalazimu baadhi ya walimu kutumia madawati ya wanafunzi wakati wa kutekeleza majukumu yao.

Kufuatia changamoto zinazoikabili shule hizo baadhi ya viongozi kutoka jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi CCM kata ya Goba wakatembelea katika shule hizo lengo likiwa ni kuangalia namna ya kutatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wa shule hizo.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea