Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kuanza kutumia maji ya ziwa Nyasa

Sunday , 27th Nov , 2022

Mkurugenzi Mkuu wa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa)Mhandisi Clement Kivegilo amesema,kuna haja ya Serikali kuanza mchakato wa kutumia maji ya ziwa Nyasa ili kumaliza shida ya maji kwa wananchi,badala ya kuendelea kutegemea vyanzo vya maji ambavyo sio vya uhakika.

Mkurugenzi Mkuu wa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa)Mhandisi Clement Kivegilo (kulia)akiwa na mbunge wa Nyasa mhandisi Stella Manyanya.

Kivegilo amesema hayo kwa nyakati tofauti,wakati akikagua ujenzi wa miradi mikubwa ya maji katika kata ya Liuli na Lituhi Halmashauri ya wilaya Nyasa mkoani Ruvuma inayojengwa kwa gharama ya Sh.bilioni 11.3

Kivegilo alisema,hakuna sababu ya wilaya ya Nyasa kuwa na tatizo la maji kwa wananchi wake,kwani kuna vyanzo vingi na uhakika ikiwamo ziwa Nyasa lenye uwezo wa kuhudumia wilaya yote ya Nyasa.

“unaposikia watu wana shida ya maji na wanaishi kando ya ziwa nyasa haiingii akilini hata kidogo,wakati umefika sasa kwa serikali kuanza mchakato wa kutumia maji ya ziwa Nyasa badala ya kuendelea kutegemea vyanzo vingine ambavyo havina uhakika sana”alisema Kivegilo.

Miradi hiyo ni mradi wa maji Liuli unaotekelezwa kwa gharama ya zaidi ya Sh.bilioni 5 na mradi wa maji wa Mwerampya kata ya Lituhi unaotekelezwa kwa gharama ya zaidi ya Sh.bilioni 6.5.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa