Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi 489 wahitimu chuo cha kodi.

Friday , 25th Nov , 2022

Mamlaka ya mapato nchini Tanzania TRA kupitia chuo chake cha kodi imewataka wahitimu waliomaliza kozi mbalimbali za kikodi katika Mahafali ya 15 kwenda kuzingatia elimu ya Kodi ili kupunguza uhitaji wa watalaam uliopo serikalini na sekta binafsi.

Mkuu wa Chuo cha kodi Prof Isaya Gairo

Rai hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Laurence Mafuru ambaye amewataka watalaam Hao kuwa chachu katika kuongeza pato la serikali kwa weledi kwenye utendaji wao.

'Kupitia mafunzo haya nendeni mkawe chachu katika kushauri kutenda na kuikataa rushwa mkaifanye azma ya serikali kwenye utendaji wake kufikia kirahisi mapinduzi ya viwanda kafanyeni kazi kwa weledi mkitanguliza maadilim ya kikodi'Amesema Mafuru

Pamoja na hilo amewataka pia kuhakikisha wanawekeza katika maadili yenye kuikataa rushwa ili kuhakikisha azma ya serikali kwenye mapinduzi ya viwanda inafikiwa pakiwa na wataalamu wa kikodi

Katika mahafali hayo mkuu wa chuo cha kodi prof Isaya Gairo amesema wahitimu ni 489 wa kike wakiwa 198 wanaume 291 akidai kuwa wahitimu hayo wanaweza kuongeza kasi kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani serikalini ama kupitia sekta binafsi.

Kwa pande wao wahitimu waliofanya vizuri kwa ufaulu wa juu katika masomo wamesema siarir ya ushindi nim kujituma kupenda unachokifanya wakiahidi kwenda kufanyia kazi ushauri na utalaamu waliopatiwa.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma