Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viongozi wa dini kutoa elimu ya haki za binadamu

Friday , 30th Sep , 2022

Viongozi wa dini nchini wametaka elimu kuhusu masuala ya haki za binadamu kuwafikia zaidi wananchi katika ngazi ya familia, ili kupunguza kukithiri kwa matukio ya ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu nchini.

Viongozi wa madhehebu mbalimbali nchini

Hayo yamebainishwa Wakati wa kikao cha viongozi wa dini zote kilichoenda sambamba na uzinduzi wa  kitabu kitakacho kuwaelimisha watu kuhusu umuhimu wa haki za binadamu huku  Askofu Mkuu wa Monnonite Nelson Kisare akitaka viongozi wa dini katika jamii zao kuzijua sheria na haki za binadamu ili waweze kutoa zaidi elimu kwa wananchi wanaowaongoza.

Aidha viongozi hao Wamekemea baadhi ya viongozi wa dini na viongozi wengine kwenye jamii ambao wamekuwa wakifanya vitendo vya ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu, huku Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu Bakwata Sheik Khamis Mataka akitaka nao wawajibishwe na sheria zilizowekwa.

Kwa upande wao Mratibu wa Mtandao wa watetezi Haki za binadamu Onesmo Ole Ngurumo  Tanzania ametaka jamii kwa ujumla kushikamana katika kupinga uvunjwaji wa haki za binadamu, na kuacha kuwaachia wanaharakati pekee kupambania watu kupata haki zao, akihimiza watoto pia kufundishwa kuzijua haki za binadamu.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma