Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mlemavu wa macho amuua mama yake Njombe

Friday , 30th Sep , 2022

Bibi mwenye umri wa miaka 87 anayefahamika kwa jina la Elina Nzilano mkazi wa mtaa wa Idofi halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe ameuawa na mwanae mwenye ulemavu wa macho (Kipofu) anayefahamika kwa jina Elisha Mwena (42) huku sababu ikitajwa kuwa ni kikongwe huyo kumnyima chakula

Kwa mujibu wa ripoti ya awali ya jeshi la polisi inasema mlemavu huyo wa macho ambaye ni mtoto wa bibi huyo alikasirishwa na kitendo chake cha kumyima mwanae chakula na sabafubu kubwa ya kutompa chakula ni mjukuu wake kuiba kuku wake na kumla.

Akizungumzia tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi Hamis Issa amesema Mlemavu huyo wa macho alimshambulia mama yake baada ya mtoto wake kutopewa chakula kwasababu ya kuiba kuku wa bibi huyo na kisha kumla jambo ambalo likamkasirisha na kisha kuanza kumpa kichapo kwa fimbo bibi huyo na kumsababishia kifo.

Katika tukio jingine Jeshi la Polisi mkoani Njombe linawashikilia watu 11 kwa tuhuma za kuvamia katika mradi wa ujenzi wa chuo cha VETA cha mkoa wa Njombe unaotekelezwa katika kijiji cha Shaurimoyo wilayani Ludewa na kusababisha mauaji ya mlinzi anayefahamika kwa jina la Romanus Galus na kisha kuiba vifaa vya ujenzi

Mara baada ya mauaji hayo,Ndipo kituo hiki kikafanya mahojiano na msimamizi wa mradi Adam Rogers na Mbunge wa Ludewa Joseph Kamonga na mlinzi mwenza wa marehemu .
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja