Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viwanja vya sabasaba kufanyiwa maboresho

Wednesday , 21st Sep , 2022

Zaidi ya  shilingi bilioni mbili zinatarajiwa kutumika kukarabati miundombinu ya barabara za ndani ya viwanja vya maonesho ya kimataifa ya Julius Nyerwre maarufu kama sabasaba kufuatia miundombinu hiyo kuchakaa 

Akizungumza leo jijini Dar es salaam wakati wa kikao cha tathimini juu ya maonesho ya 46 ya kimataifa ya biashara yaliofanyika mwezi Julai mwaka huu Kaimu Mkurugenzi wa idara ya ukuzaji biashara  kutoka tantrade Fortunatus

Muhambe  amesema TANTRADE wanaendelea kufanya marekebisho baada ya maoni ya wadau ikiwemo kulalamikia changamoto ya miundombinu. vyoo. na siku za maonesho ambapo kuhusu siku za maonesho bado wataendelea kujadiliana na wizara.

Kwa upande wake kaimu mkurugenzi wa mamalaka ya biashara tantrade twilumba mlelwa amesema maonesho ya kimataifa ya 46 yaliomalizika  mwesi julai mwaka huu yamekuwa na mafanikio makubwa ikiwemo ongeseko la washiriki wa ndani na nje huku pia yakionekana kukua katika utoaji elimu kwa wqfanayabaishara.

Nao baadhi ya wadau wa mamlaka ya baishara nchini tantrade wamesema  changamoto kubwa katika maonesho ya kimataifa ya baishara ni  pa moja na miundombinu kuwa mibovu.kodi kubwa pa moja na na meneo mwngìne ambayo ymekuwa kikwazo kwa washiriki.

Katika maonesho ya kimataifa ya 46 ya baihsara yaliohitimishwa julai mwaka huu jumla ya wahudhuliaje lakitatu walishiriki .huku makampuni ya ndani yakiongezeka na kufikia 76 kati ya makampuni 3200 yakioshiriki huku mikataba ya shilingi bilioni 176 ikisaniwa

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya