Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akatwa mkono na titi baada ya missed call kukoseka

Wednesday , 21st Sep , 2022

Maria Marwa (36) mkazi wa Kijiji cha Isango, wilayani Rorya mkoani Mara, amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa baada ya kujeruhiwa kwa mapanga na kukatwa mkono wa kushoto na titi la kushoto na mume wake kwa madai ya kukosekana kwa namba ya simu iliyopigwa kwenye simu ya mwanamke huyo.

Maria Marwa aliyekatwa mapanga

Akisimulia tukio hilo mwanamke huyo amesema usiku wa kuamkia Septemba 8 mwaka huu baada ya chakula cha usiku mume wake Werema Ibaso, alimuomba ampatie simu yake na kuanza kumhoji juu ya namba ya simu iliyopigwa siku mbili nyuma ambapo mwamke huyo alipoikosa ndipo mwanaume huyo alipochukua panga na kuanza kumkatakata maeneo mbalimbali ya mwili wake.

Akizungumzia sababu ya kukata mkono na titi Daktari wa hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara, amesema ngonjwa huyo alifika hospitalini hapo kwa kuchelewa hivyo majeraha aliyokuwa ameyapata yalianza kuharibika.

EATV ilimtafuta Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime, Rorya Geofrey Sarakikya, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na amesema jeshi la polisi linaendelea kumsaka mwanaume huyo ambaye baada ya kufanya tukio hilo na kutoroka kusikojulikana.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea