Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uchunguzi miili iliyokutwa kwenye viroba - Masauni

Thursday , 18th Aug , 2022

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamadi Masauni ameagiza kufanywa uchunguzi wa kina ili kubaini mauaji ya kinyama dhidi ya watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni wachimbaji wa madini ambao miili yao ilikutwa kwenye viroba na kutupwa kwenye kijiji cha Lusane kata ya Tunguli Mkoani Tanga

Watu hao wamekutwa wakiwa na majeraha mbalimbali yanayosadikiwa yalitokana na kupigwa na nondo huku shingo zao zikiwa zimevunjwa

Waziri Masauni ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara wilayani humo katika hospitali ya Teule mahali ambapo miili ya watu hao imehifadhiwa, ziara aliyoifanya akiwa ameambatana na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo. 

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Omari Mgumba amesema  tukio hilo limeuchafua Mkoa wa Tanga huku akisema vyombo vya dola vitashirikiana kuwabaini wahusika wa tukio hilo. 

Viongozi mbalimbali walioshiriki kwenye ziara hiyo akiwemo Mbunge wa jimbo hilo Omari Kigua, Mkuu wa Wilaya hiyo Abel Busalama, Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Tanga, Safia Jongo wamelaani tukio hilo.

Miili hiyo bado haijafahamika licha ya picha zao kuoneshwa kwenye machimbo mbalimbali ya madini katika wilaya ya Kilindi, kwa lengo la kubaini  ndugu na jamaa wa karibu wa watu hao
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea