William Lukuvi
Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 11, 2022, wakati akiingia mkoani Iringa ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake katika maeneo mbalimbali ya nchi.
"Mmewaona mawaziri hakuna aliyezidi miaka 56 hawa wote nimemkabidhi fimbo Lukuvi wakifanya vituko anawachapua, tungeweka mibaba mikubwa mikubwa angeshindwa kuwachapua angewatizama wanaongea lugha moja na kusema bwana usifanye hivyo," amesema Rais Samia
Aidha Rais Samia ameongeza, "Lakini hawa (Mawaziri waliopo sasa) ni kuwachapua kwenda mbele, ndiyo maana vinakwenda mbio kweli kweli kufanya kazi,"