Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Stars wanyimwa ruksa kufanya mazoezi kwa mkapa

Friday , 22nd Jul , 2022

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania ''Taifa Stars'' Kim Poulsen amefedheshwa na kitendo cha wasimamizi wa Uwanja wa Mkapa kuinyima ruhusa timu hiyo ya Taifa kupata nafasi ya kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Kikosi cha timu ya Taifa.

Poulsen amebainisha kuwa anajisikia vibaya na anshindwa kuelewa dhana ya kuinyima timu ya taifa faida ya kufanya mazoezi na maandalizi ya mechi kwenye nyasi halisi za Uwanja wa Mkapa na badala yake wanapelekwa kwenye nyasi za bandia ilihali mchezo dhidi ya Somalia utachezwa katika Uwanja wa Benjamini Mkapa.

“Nashangaa na kiukweli nashindwa kuelewa, kwamba tunapokuwa Taifa Stars tunacheza mchezo wa kufuzu Fainali za CHAN,mchezo muhimu na haturuhusiwi kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Taifa'' amesema Kim Paulsen kocha Mkuu Taifa Stars

Aidha Poulsen amesema kuwa wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri isipokuwa beki wa kushoto David Luhende ambaye anasumbuliwa na maumivu ya misuli ambaye amethibitisha kuwa hatahusika kabisa kwenye mchezo huo wa kesho.

Taifa Stars inatarajiwa kucheza michezo miwili ya mtoano dhidi ya Somalia ambapo atakayeibuka mshindi atacheza dhidi ya Uganda ili kupata mshindi atakayefuzu kushiriki fainali za CHAN.

 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba