Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mrembo Tanzania aeleza alivyotaka kujiua mara 4

Sunday , 6th Mar , 2022

Mwanamuziki nchini Tanzania Angel Mary Kato, amesema kwamba amewahi kujaribu kujiua kama mara nne, kutokana na changamoto ya matatizo ya afya ya akili yaliyosababishwa na malezi na matarajio ya kuwa na mafanikio fulani.

Mwanamuziki nchini Tanzania Angel Mary Kato,

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza kwenye kipindi cha MadiniDotCom.

"Maisha yangu yote tangu nikiwa mdogo nilikuwa napambana sana na 'mental health', kwahiyo nikipiga mahesabu nimeshajaribu kujiua kama mara nne hivi, na nilianza kuwaza kujiua nikiwa darasa la 5, kwa sababu tangu nikiwa mdogo tulikuwa tunaishi maisha mazuri na Mama na alikuwa na kazi nzuri, baadaye akatuambia analeta Baba wa kambo na alivyokuja tu kwenye familia alituvuruga sana,walikuwa wanapigana kila siku na Mama", amesema Angel

Aidha Angel ameongeza kuwa, "Mara yangu ya nne kutaka kujiua ilikuwa Septemba 2018, na nilitafuta njia ya kujiua vizuri na ilikuwa baada ya BSS nikijua kwamba maisha yatabadilika, kwa sababu kabla ya BSS tulikuwa na mgogoro wa career mimi na mama, na familia ilinitenga na nilitafuta njia ya kujiua ambayo ni rahisi na isiyokuwa na maumivu,".

Mwanamuziki huyo amesema kwamba, ili kusaidia watu wenye matatizo ya afya ya akili kitu muhimu kinachotakiwa ni kuwapa msaada wa kuwasikiliza na kuzungumza nao na kuwapa moyo na sio pesa.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma