Zi Faamelu
Serikali ya Ukraine iliamuru wanaume wote kuanzia umri wa miaka 18 hawataruhusiwa kuondoka nchini humo kwa ajili ya kupambana katika vita ya Urusi.
Zi Faamelu ame-post video insta story akiwa analia na kuomba makundi ya haki za binadamu yamsaidie kutoka Ukraine.