Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tumeongeza uhai wa mtu - Rais Samia

Thursday , 25th Nov , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba katika kuelekea kutimiza miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika, nchi imepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kupunguza kiwango cha umaskini kwa wananchi pamoja na kuongeza umri wa kuishi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 25, 2021, Jijini Dodoma, aliposhiriki mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha nchini ulioandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania.

"Wakati nchi yetu inatimiza miaka 60 ya Uhuru mafanikio makubwa tumeweza kupata, la kwanza nchi yetu ni kati ya nchi 10 za Afrika ambazo uchumi wao unakua kwa kasi, tumeweza kuwa na utulivu wa mfumuko wa bei na utulivu wa thamani ya pesa yetu," amesema Rais Samia.

Aidha ameongeza kuwa "Tumeweza kupunguza kiwango cha umaskini kutoka 28.6% mwaka 2015 hadi 26.2% mwaka 2020, tumeweza kuongeza uhai wa mtu kutoka miaka 50 hadi miaka 66 sasa, kwahiyo sisi ambao tuko kwenye 60 bado tuna tamaa ya kusonga mbele na pengine kwa uweza wa Mungu tukapata mingi zaidi sababu hali ya maisha inazidi kuwa bora zaidi kila kuikicha".

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba