Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliopata mimba shuleni kurejeshwa masomoni

Wednesday , 24th Nov , 2021

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amesema katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru Serikali imeamua kuwarejesha shuleni wanafunzi wote walioacha masomo kwa kupata ujauzito na utoro.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako

Prof. Joyce Ndalichako ameyasema hayo leo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Mafanikio ya Sekta ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania  leo Novemba 24, 2021 jijini Dodoma.

Aidha Prof. Ndalichako ametangaza kuwa wanafunzi wote 907,802 waliofaulu mtihani wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2022 huku ikisema imawapa kipaumbele wanafunzi wa vijijini katika shule za kitaifa za bweni.

Kwa upande mwingine Prof. Joyce Ndalichako amesema wanafunzi wa darasa la saba wanaofutiwa matokeo kutokana na udanganyifu, wanaoshindwa kufaulu mitihani au wanaopata changamoto zozote wakati wa mitihani yao watapewa fursa ya kurudia mitihani hiyo mwaka unaofuata.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea