Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hakuna kusafiri, kuingia serikalini bila chanjo

Monday , 22nd Nov , 2021

Serikali ya Kenya inapanga kutambulisha muongozo mpya wa kukabiliana na Uviko-19 Desemba 21 utakaozuia raia wake ambao hawajachanja kupata huduma kwenye majengo ya serikali.

Waziri wa Afya Kenya Mutahi Kagwe

Muongozo huo pia unazuia watu wasiochoma chanjo ya Uviko-19 kusafiri kipindi hiki cha Krismasi pamoja na kudhibiti unywaji wa pombe.

Waziri wa Afya Kenya Mutahi Kagwe amesema watu wasiochoma chanjo ya corona watazuiwa kutumia usafiri wa umma, usafiri wa anga wa ndani pamoja na wa reli.

Wananchi wa Kenya watalazimia kuthibitisha kuwa wamechoma chanjo ya Uviko-19 ili kuingia kwenye ofisi za umma kwa huduma za elimu, uhamiaji, kodi pamoja na huduma nyingine.

Kuanzia jumanne wiki hii vijana wa Kenya wenye umri wa kuanzia miaka 15 wataanza kupatiwa chanjo ya Uviko-19 aina ya Pfizer.

Hadi sasa ni asilimia 10 tu ya wananchi wa Kenya wameshapata chanjo ya Uviko-19, ambapo serikali inalenga kuwachoma chanjo watu milioni 10 ifikapo mwishoni mwa Desemba mwaka huu.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya