Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kituo cha biashara kujengwa angani

Tuesday , 26th Oct , 2021

Bilionea Jeff Bezos na mmiliki wa kampuni ya Blue Origin inayosimamia utalii wa angani ikishirikiana na kituo cha angani cha Sierra na Boeing imetangaza mpango wa kuzindua kituo cha biashara cha angani.

Picha ya Orbital Reef

Kituo hicho 'Orbital Reef' kitakuwa na ukubwa wa futi 32,000 ambapo kitawawezesha wateja kuandaa filamu katika eneo hilo, kufanya utafiti na kutakuwa na hoteli ya angani.

Katika mkutano na wanahabari kuzindua mpango huo, maafisa wakuu wa Blue Originna kituo cha angani cha Sierra walikataa kutoa gharama ya ujenzi wa kituo hicho , ijapokuwa inadaiwa wanahakika kupata ufadhili wa kitita kikubwa kutoka kwa bwana Bezos, ambaye amejitolea kutumia $1bn (£726m) kwa mwaka katika kampuni ya Blue Origin.

Tangazo hilo linajiri huku Nasa ikitafuta mapendekezo ya kuunda kituo mbadala ili kuchukua mahala pake majengo ya kituo hicho yalio angani kwa miaka 20.

 

 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu