Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Salah na Haller aweka rekodi za kibabe UEFA

Wednesday , 20th Oct , 2021

Mshambuliaji hatai wa Liverpool, Mohammed Salah ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye mabao mengi kwenye historia ya klabu hiyo kwa kufikisha mabao 31 kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya pekee usiku wa jana.

(MO Salah akifunga kwa mkwaju wa Penalti (kwenye ociha kubwa) na Sebastien Haller (picha ndogo) akisheherekea baada ya kufunga bao)

Salah amefikia rekodi hiyo baada ya kufunga mabao mawili kwenye ushindi wa  Liverpool wa mabao 3-2 ugenini dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa hatua ya makundi wa michuano hiyo.

Mbali na rekodi hiyo, Salah pia ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza ndani ya Liverpool kufunga magoli 11 katika michezo tisa mfululizo kwenye michuano yote ambayo Liverrpool imeshiriki akiwa amekosa mchezo mmoja tu.

Salah amevifunga vilabu vya Chelsea, Leeds, Milan, Crystal Palace, Brentford na FC Porto. Salah amekosekana kwenye mchezo  mmoja  tu msimu huu  dhidi ya Norwich  kwenye michuano ya Carabao ambao yeye hakujumuishwa kikosini.

Kwa upande mwingine,

Nyota wa Ajax, Sebastien Haller amezidi kuweka rekodi sawa na Erling Halaand kwa kufunga magoli sita kwenye michezo yake mitatu ya mwanzo akiwa na timu yake mpya kwenye msimu wa kwanza wa michuano hiyo mikubwa Duniani.

Haller aliweka rekodi hiyo baada ya kufunga bao moja kwa ushindi wa Ajax wa mabao 4-0 dhidi ya Dortmund usiku wa jana na kuondoka kifua mbele kwenye usiku wa mabingwa wa ulaya.

Ikumbukwe kuwa Haller aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa pili kwenye historia ya UCL kufunga mabao 4 kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Sporting CP na kuifikia rekodi ya Marco Van Basten wa AC Milan mwaka 1992

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea